Wateule ni kundi linaloundwa na vijana wanne ambao ni Juma aka J/moe,Jaffary aka Jeffray,Kevin kama Gado au Mlinzi mkuu na Jambazi Sugu ambaye hujulikana kama Mox Kundi hili lilianzishwa mwaka 2000....Write to me if you wanna know about this Crew before I take anything up here! My E-Mail Address is jjosho1@yahoo.com |
Wateule njia isiyo na mwisho yani Wabakiaji na siku zote mnaweza mkabaki ndani ya ukungu kama msipo angalia ni jinsi gani mambo yaliyomo ndani ya Hip hop na Ragga!.. |
WATEULE |